ASANTY GOD

God hapa penye umenifikisha

Nasema tu Shukran 

Kwani mob battles through umenisee

Niseme si kwa ujanja 

Lakini umenifanya mjanja kuepukana na mamblaina,

Watu wamejaa hate na misfortune umewakeep mbali na yangu life

Asanty umeprotect yangu soul, na kunipea peace kwa hii soil 

Ndio maana kila morning kwa  knees nitago ili niwe close nawe Nissi 

Umenilead kwa pastures green.          

Thats why na yako word always nitaAgree

Nikiplead for yours mercy, 

Blessings na ata Guidance 



God naomba patience 

Nizidi kusonga na yako pace

Juu venye nakuwa ndivo mob naFace

Asanty God haujaniacha ni-learn from experience 

Lakini umenipea ability ya ku-learn zako wise ways

ASANTY GOD

                                @Collince 

Comments

Popular posts from this blog

WOMAN

Niboad

'She'